USIKU WA KANGA ZA KALE

USIKU WA KANGA ZA KALE

Monday, November 8, 2010

KARIBUNI

Naitwa Asia Idarous Khamsin, ni mbunifu wa mitindo ya mavazi na ni mama wa mitindo Tanzania.Pia ni muandaaji wa maonyesho ya mavazi tofauti duniani,  nimeona ni jambo jema kuanzisha blog hii, ili niweze kuwasiliana najamii kwa ukaribu zaidi. nahitaji ushirikiano wenu. karibuni

No comments:

Post a Comment